Balozi Umoja wa Ulaya Atembelea Skimu ya Kiroka, Morogoro

Msimamizi wa mradi wa FAO kijiji cha Kiroka mkoani Morogoro, Ajuaye Sigalla, akitoa muhtasari wa maendeleo ya mradi FAO unaotekelezwa na wanakikundi wa Umoja wa Wakulima Kiroka (UWAKI) mbele ya Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi walipofanya …

NEMC Yakifunga Kiwanda cha 21st Century

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam KIWANDA cha nguo cha 21st Century kilichopo eneo la Kihonda Mkoani Morogoro kimefungiwa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), kutokana na kudaiwa kutiririsha maji taka ambayo yamekuwa yakichafua mazingira. Taarifa ya NEMC imekitaka kiwanda hicho kusimamisha shughuli zote za uzalishaji kuanzia Februari 20, 2015. Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji …

Ikulu Yazoa Vikombe SHIMIWI, Wanamichezo Waaswa

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO KLABU ya Ofisi ya Rais Ikulu imeonesha umwamba wao kwa kupokea vikombe vingi na medali katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) ambayo yamefikia tamati leo mjini Morogoro. Klabu hiyo imeongoza kwa kupokea vikombe vingi zaidi ya klabu nyingine zilizoshiriki michuano hiyo ambapo jumla ya vikombe sita vimechukuliwa na …

Mashindano SHIMIWI Yapamba Moto, Yaingia Nusu Fainali

Na Eleuteri Mangi – MAELEZO MICHUANO ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini Morogoro. Katika mchezo wa kuvuta kamba timu za wanaume zilizoingia hatua hiyo ni Ikulu, Uchukuzi, Hazina na Mahakama wakati kwa upande wa …

Usajili Maombi ya Vitambulisho Waanza Morogoro

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Imeanza rasmi zoezi la Usajili na Utambuzi wa Watu Mkoa wa Morogoro pamoja na uchukuaji alama za vidole, picha na saini ya kielektroniki kwa wananchi wa Wilaya ya Kilombero ambao zoezi la Ujazaji fomu za maombi ya vitambulisho lilishafanyika. Kuanza kwa usajili na Utambuzi wa Watu mkoa wa Morogoro kumefuatia kukamilika kwa zoezi kama …