Wanajeshi Wanne wa Marekani Wauwawa, 40 Walipuliwa Nigeria

MTU mwenye silaha amewaua askari wanne wa Jeshi la Majini la Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika Mji wa Chattanooga, Tennessee. Wanajeshi hao wote waliuawa katika jengo moja. Maofisa nchini humo wameyaita mauaji hayo kuwa ni Shambulio la ndani. Shirika la Upelelezi la Marekani FBI linalochunguza mauaji hayo, limesema halijajua bado kilichosababisha shambulio hilo. Kufuatia …