Mgombea Ubunge Jimbo la Mkwajuni Salimini Amour Ajinadi

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mkwajuni Zanzibar Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Khamis Mohammed Jecha akifungua rasmini Kampeni xza Wagombea Uwakilishi Ubunge na Udiwani wa Jimbo la Mkwajuni katika Tawi la CCM Moga A Wilaya ya Kaskazini Unguja. Mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Amini Salimini Amour Juma akiwahutubia Wananchi wa Tawi la CCM Moga A Kaskazini …