Mkuu wa Usalama Marekani Abwaga Manyanga..!

MKUU wa Idara ya Usalama nchini Marekani, Julia Pierson ambaye idara yake inahusika na kumlinda Rais wa nchi hiyo Barack Obama, ameamua kubwaga manyanga kazini baada ya shutuma kumzidia. Shutuma zilizokuwa zikimwandama zaidi ambayo huenda zimeshinikiza maamuzi ya kujiuzulu ni tukio la kuhatarisha usalama wa Ikulu ya nchini hiyo na taifa kiujumla. Bi. Pierson alikabidhi barua ya kujiuzulu kwa Waziri …