SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) lina furaha kuwatangazia wadau wake tarehe mpya za Mkutano wa Tano wa Wadau. Wapi: Simba Hall, AICC- Arusha Tarehe: 2 Juni -4 Juni, 2015. Mgeni Rasmi: Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa maelezo zaidi wasiliana na; Meneja Kiongozi, Idara ya Uhusiano na Huduma kwa …