Waziri wa Afya Afunga Mkutano wa Chama cha Maofisa Kumbukumbu na Taarifa za Afya Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Maofisa Kumbukumbu na Taarifa za Afya Tanzania (THERIA), Geofrey Semu akizungumza katika mkutano wa THERIA leo jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulioshirikisha wanachama wa THERIA kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania umefanyika kwa siku mbili mfululizo, Aprili 27 na 28, 2016 katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba cha Muhimbili.   Katibu Mkuu wa Chama cha …

MKUTANO WA TANO WA WADAU NSSF

MKUTANO WA TANO WA WADAU NSSF *ZAIDI YA HIFADHI YA JAMII: AJIRA, UJASIRIAMALI NA MICHEZO Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linapenda kuwatangazia wadau wake kufanyika kwa Mkutano wa tano(5) wa Wadau wa NSSF. Wapi: Simba Hall AICC- Arusha Lini: Tarehe 5-7 Mei, 2015 Washiriki: Wadau wa NSSF (Waajiri na Wanachama) Mkutano huo wa tano utakuwa mahususi kwa …

Chama cha Majaji Wanawake Chafanya Mkutano Mkuu

 Jaji Fredrick Wambali akitoa mada katika mkutano huo.  Wanachama wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA), wakiwa kwenye mkutano wao mkuu uliofanyika Dar es Salaam jana. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama kutoka mikoa yote. Dotto Mwaibale   JAJI Mkuu Mohamed Chande, amewataka wanawake nchini kutoa taarifa katika ngazi husika pindi  wanapoombwa rushwa ya ngono ili sheria ifuate mkondo wake.   …

Mkutano Mkuu TFF Kufanyika Singida, Mfuko wa Maendeleo…!

KAMATI ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepanga Mkutano Mkuu wa Kawaida wa mwaka ufanyike Machi 14 na 15 mwakani mjini Singida.   MGOGORO NDANI YA ZFA Kamati ya Utendaji imepokea kwa masikitiko taarifa za masuala ya mpira wa miguu Zanzibar kupelekwa mahakamani. Kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kitendo hicho …