Mshindi wa Tatu Miss Tanzania 2014 Achangia Damu

Mshindi wa tatu wa Miss Tanzania 2014, Doris Mollel akishiriki zoezi la uchangiaji damu katika ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Siku ya wanawake Duniani, iliyofanyika Buguruni Chama jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto Ofisa Muuguzi kutoka Benki ya Damu Salama, Selina Joseph. Zoezi hilo la uchangiaji damu liliandaliwa na Mrembo huyo. Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani, mrembo Doris Mollel ambaye ni Miss Tanzania namba …

Miss Tanzania 2014 Azungumzia Umri Wake, Lundenga Ajitoa..!

KIZUNGUMKUTI kilichotanda tangu kutangazwa kwa mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zuberi Mtemvu leo kimeingia katika utata zaidi baada ya mlimbwende huyo kujitokeza pamoja mwandaaji wa shindano hilo, Hasheem Lundenga kuzungumzia tuhuma zinazoendelea. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Sitti alisema yeye ana umri wa miaka 23 na cheti chake cha kuzaliwa kilipotea …

Warembo Miss Tanzania 2014 Waingia Kambini Dar

WANYANGE 30 wanao wanbia taji la Redd’s Miss Tanzania 2014 wameingia kambini tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazo fanyikia mapema mwezi Oktoba jiji Dar es Salaam. Warembo hao waliowasdili kwa muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya leo na kupokelewa na waandaaji wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la maraha …