Serikali, Mishahara ya Watumishi wa Umma kulipwa kupitia benki

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisi za Hazina jijini Dar es salaam Na Eleuteri Mangi-MAELEZO SERIKALI IMEAGIZA WATUMISHI wote wa umma walipwe mishahara moja kwa moja kupitia akaunti zao sahihi za benki ambazo zitatumika kupitishia mihahara yao. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba alipokuwa akiongea …