Hatuna Tofauti ya Mpaka Kati ya Tanzania na Malawi – Waziri Malawi

Balozi wa Tanzania Nchini Malawi  Patrick Tsere Akizungumza na waandishi wa Habari kutoka Mbeya walipotembelea Ofisi za ubalozi Nchini Malawi. Baadhi ya Waandishi wakimsikiliza Balozi.  Balozi wa Tanzania Nchini Malawi  Patrick Tsere akijibu Taarifa ya waandishi wa Habari wa Mkoa wa Mbeya .  Baadhi ya Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Mbeya wakifuatilia Hotuba ya Waziri wa Habari, Utalii na …

Uainishaji Mipaka Kimataifa Burundi na Tanzania Hauwagawi wakazi

Na Aron Msigwa – MAELEZO, Kagera MARAIS wa Tanzania na Burundi wamewatoa hofu wakazi wa maeneo ya mpakani mwa Tanzania na Burundi kuwa zoezi la Uimarishaji mpaka wa kimataifa kati ya nchi hizo linalofanywa na wataalam wa upimaji na ramani katika maeneo ya mipaka ya nchi hizo halilengi kuleta mgawanyiko miongoni mwao bali kuweka utaratibu mzuri wa utambuzi wa alama za …