ActionAid Yakutanisha Wadau Kujadili Malengo Mapya ya Milenia

ACTIONAid kwa kushirikiana na taasisi ya Landesa imekutanisha wadau mbalimbali kutoka asasi na mashirika ya kutetea jamii kwa ajili ya kujadili malengo mapya ya milenia ‘Post 2015 Sustainable Development Agenda’ yanayotarajiwa kutekelezwa kwa nchi zilizokubaliana. Akiwasilisha mada Ofisa Uchumi, Andrew Aloyce kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango alisema serikali imejipanga vema katika kutekeleza malengo mapya 17 ya Milenia yaliyopendekezwa …

Idadi ya Watalii Wanaotembelea Kilimanjaro Waongezeka

IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi kufikia 51,287 ndani ya kipindi cha miaka 10 huku asilimia 4 na sita kati yao wakiwa ni wazawa. Asilimia hiyo inatajwa ni ya watanzania ambao wamekuwa wakipanda Mlima huo kwa muda wa siku moja hali inayoilazimu uongozi wa hifadhi hiyo kuendelea kuhamsisha wananchi kutembelea hifadhi …