Tanzania Yatuma Rambirambi Kifo cha Rais Zambia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameshtushwa na kusononeshwa sana na taarifa za kifo cha Rais wa Jamhuri ya Zambia, Michael Chilufya Sata ambacho kimetokea jana, Jumanne, Oktoba 28, 2014 kwenye Hospitali ya King Edward VII, London, Uingereza, ambako alikuwa anatibiwa akiwa na umri wa miaka 77. Katika salamu ambazo amempelekea Makamu wa Rais wa Zambia, Mheshimiwa …

Hatimaye Rais wa Zambia, Michael Sata Amefariki Dunia

RAIS wa Zambia, Michael Chilufya Sata amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa ya wanafamilia wa Rais huyo, Michael Sata imeviambia vyombo vya habari kuwa rais huyo amefariki dunia katika hospitali ya London alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa hadi sasa. Kifo cha Rais Sata aliyekuwa na umri wa miaka 77 kimetokea ikiwa ni siku chache baada ya Zambia kusherehekea miaka 50 …