Kenya, Tanzania Wamaliza Mvutano wa Marufuku…!

HATIMAYE marais Uhuru Kenyetta wa Kenya na Jakaya Kikwete wa Tanzania wamekubaliana kufutilia mbali maagizo ya Mamlaka ya anga nchini Tanzania kupunguza idadi ya ndege za Kenya zinazotua nchini Tanzania na agizo la Wizara ya maliasili ya Kenya kupiga marufuku magari ya Tanzania kuingia katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta. Katika makubaliano hayo ndege za Kenya Airways sasa zitafanya …

Yanga Yagawanyika, Manji Aingia Mgogoro

BAADA ya kumtimua kocha Mkuu wa timu yake na baada ya kubwaga chini sekretariati ya klabu hiyo, Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Sports Club (Yanga) Bw. Yusuf manji, ameamua kuwafanyizia baadhi ya waliokuwa watumishi wa Klabu hiyo akiwemo Beno Njovu, Katibu Mkuu aliyepita. Kulingana na mawasiliano yaliyonaswa na makachero wetu kati ya Mwenyekiti huyo na viongozi wa juu wa …

Serikali Yaunda Timu ya Usuluhishi Mgogoro wa Wafugaji na Wakulima Kiteto

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kuunda timu ya watu 10 kutoka kada tofauti wakiwemo viongozi wa dini ambao watapewa jukumu la kufanya kazi ya usuluhishi kwenye vijiji vyenye migogoro baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto mkoani Manyara. Ametoa kauli hiyo Novemba 23, 2014 wakati akiwasilisha salamu za Serikali kwenye ibada ya kumweka wakfu Askofu wa …