Ndesamburo ‘Ang’atuka’ Ampa Kijiti Meya

Ndesamburo, Moshi Mjini, Meya Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakifuatili mkutano wa hadhara wa Chadema uliofanyika katika eneo la soko la Manyema. Katibu mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi na Diwani wa Kata ya Kiusa ,Stephen Ngasa akizungumza katika mkutano huo wa hadhara. Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiwasili katika …