Mbunge Mtemvu Afanya Ziara Kuangalia Miundombinu ya Majitaka

  Diwani wa Soko la Tazara Vetenary Zahoro Maganga akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu alipotembelea maeneo yaliyoharibiwa  na mvua akiongozana na  viongozi wa Wakala wa Serikali wa Barabara (Tanroads) jinsi maji yanavyotakiwa kufata mfereji huo ambao haupitishi maji kupeleka katika mfereji huo .    Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia) akizungumza na viongozi …