Waziri Mkuu Mstaafu wa Israel Atembelea Hifadhi za Serengeti na Ngorongoro

Waziri Mkuu wa zamani wa Taifa la Israel,Ehud Barak (kushoto) akimueleza jambo Naibu Waziri wa Malisili na Utalii,Mhandisi Ramo Makani baada ya kukutana katika eneo la Makumbusho ya kale la Olduvai Gorge ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro akiwa njiani kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (kushoto) ni Meneja Mawasiliano wa TANAPA,Pascal Shelutete. Mhandisi Ramo Makani akimueleza jambo Waziri Mkuu wa zamani …

Waziri Nyalandu na Mh. Lembeli wapo Afrika Kusini kukamilisha “mauzo” ya mbuga ya Katavi

* Baada ya Katavi Hifadhi nyingine nazo zitatolewa kwa wawekezaji * Katibu Mkuu ashinikizwa, abaki njia panda kuidhinisha safari, malipo * Urafiki wa Waziri, Lembeli waibua shaka miongoni mwa watumishi Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, yupo kwenye hatua za mwisho za kuikabidhi Hifadhi ya Taifa ya Katavi kwa mwekezaji wa Afrika Kusini. Kwa kuanza, ameshakamilisha mipango ya kuingia …