Mbowe Alazwa Muhimbili, Azungumza na Waandishi Hospitalini

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kitengo cha moyo baada ya kuugua gafla akiwa kwenye msafara wa mgombea wa urais kupitia Chama hicho, Edward Lowassa na kukimbizwa hospitalini. Akizungumza na waandishi wa habari leo akiwa Hospitali ya Muhimbili ya jijini Dar es Salaam Mbowe alisema anaendelea …

Freeman Mbowe, Ndesamburo Wanguruma Kilimanjaro…!

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Railway mjini Moshi. Mwenyekiti wa Chadema taifa, Freeman Mbowe akiwa na Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro na Mbunge wa jimbo la Moshi mjini, Philemon Ndesamburo walipokutana wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Railway mjini Moshi, wengine ni Mwenyekiti wa …

Mbowe Ajisalimisha Polisi, Shughuli Zasimama

SHUGHULI za kiserikali katika Wizara ya Mambo ya Ndani na ofisi jirani, jana zilisimama kwa siku nzima kutokana na hekaheka zilizoibuka baina ya polisi na wafuasi wa Chadema pale mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe alipojisalimisha polisi. Hekaheka hizo ziliibuka kuanzia saa 5.10 asubuhi baada ya Mbowe akiongozana na wanasheria wa chama hicho, kufika katika ofisi za Makao Makuu ya …