Serikali Kutumia Bil 55 Kusambaza Umeme Mbeya Vijijini

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itatumia shilingi bilioni 55 kuvipatia umeme vijiji 244 vya mkoa wa Mbeya kupitia Miradi ya Umeme Vijijini (REA). Ametoa kauli hiyo Machi 2, 2015 wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Mbeya waliofika kusikiliza majumuisho ya ziara yake ya siku saba kwenye mkoa huo. Mkutano huo ulifanyika kwenye ukumbi wa Mkapa, jijini …

Ulevi kwa Wazazi Kikwazo cha Malezi Kata ya Tembela

KITENDO cha baadhi ya wazazi kuendekeza unywaji wa pombe za kienyeji katika baadhi ya vijiji vilivyopo Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini kimesababisha wazazi hao kushindwa kuwasimamia vizuri watoto wao hasa wanafunzi jambo ambalo limesababisha kupoteza mwelekeo. Kauli hizo zilitolewa na baadhi ya viongozi wa vijiji mwishoni mwa mwaka jana walipokuwa wakizungumza kwa nyakati tofauti na mwandishi wa habari …