Capt. Kidai Senzala Kalise Azikwa Gonja Wilayani Same

MAOFISA wa Polisi wakiwa wamebeba sanduku lililohifadhi mwili wa Marehemu Capt. Kidai Senzala Kalise aliyefariki Novemba 29 mwaka huu katika ajali ya Helkopta iliyotokea Kipunguni B-Moshi Bar Dar es Salaam wakielekea katika makaburi ya familia huko Gonja Maore Wilaya ya Same mkoa wa Kilimanjaro Desemba 1, 2014.   Marehemu Kidai alikuwa Mrakibu wa Polisi na alizikwa kwa heshima zote za …