Mawaziri wa Zamani, Mramba na Yona Wahukumiwa Kifungo Jela

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kwenda jela miaka mitatu kila mmoja aliyekuwa waziri wa zamani wa Fedha, Bazil Pesambili Mramba na aliyekuwa Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona baada ya kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya sh. bilioni 11.7. Hata …

Rais Nkurunziza Awafukuza Kazi Mawaziri Watatu…!

IKIWA ni siku chache baada ya Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kunusurika kupinduliwa madarakani amewafukuza kazi mawaziri watatu katika Serikali yake. Hata hivyo bado maandamano ya wananchi yanaendelea katika Mji Mkuu wa Burundi Bujumbura ikiwa ni ishara ya kumshinikiza asigombee muhula wa tatu katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo. Mawaziri walioachishwa kazi ni pamoja na Waziri wa Ulinzi, Waziri wa …

Baraza la Mawaziri Lilinikataza Kutaja Ugonjwa – Rais Kikwete

Na Mwandishi Wetu, RAIS Jakaya Kikwete amewasili salama nchini Tanzania leo akitokea nchini Marekani alipokuwa kwa matibabu ambapo alifanyiwa upasuaji kutibiwa saratani ya tezi dume katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland. Akizungumza na wanahabari mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam alisema alipokuwa akiliarifu Baraza lake la …