Mastaa wa Real Madrid Wawachapa Wenzao wa Tanzania

MASTAA wa zamani wa timu ya Real Madrid leo wamewafunga mastaa wenzao waliowika hapo nyumba wa Tanzania mabao 3 kwa moja katika mchezo uliochezwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mastaa wa Real Madrid wakiongozwa na nguli wa mchezo huo wa mpira wa miguu Luis Figo walifanikiwa kuwafunga mastaa wa Tanzania baada ya mpambano mkali ambao ulikuwa na mvuto …