Ibada ya Kumuombea Marehemu Amin Elias Mbaga Dar

ilia na familia ya Marehemu Amin Elias Mbaga wakishiriki misa ya kumuombea aliyekuwa mfanyakazi mwenzao, marehemu Amin Elias Mbaga. Mwili wa marehemu umesafirishwa jana kuelekea Kilimanjaro kwa mazishi.[/caption] Marehemu Amin Elias Mbaga aliyekuwa Meneja Uhusino alifariki Oktoba 13, 2014 katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam. Na ibada ya kumuombea imefanyika Kanisa la KKKT Sinza Kumekucha kabla ya kusafirisha …