Vijana Marafiki wa Lowassa Dar Wahamia Chadema

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya vijana wa kundi la 4U Movement waliokuwa wakimuunga mkono Edward Lowassa leo wamerudisha kadi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Akizungumza na mtandao huu mmoja wa wawakilishi wa vijana hao, Michael Litanda alisema takribani vijana 100 waliokuwa katika kundi hilo la 4u Movement wameamua kukihama Chama Cha …