Jeshi Linalomtii Rais Nkurunziza Lazima ‘Mapinduzi’ Burundi

JESHI linalomtii Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza jana lilifanikiwa kuzima mapinduzi ya kijeshi yaliyopangwa kufanywa na wanajeshi wafuasi wa Meja Jenerali Godefroid Niyombare aliyetangaza kupitia kituo kimoja cha redio kuwa ameipindua serikali ya Nkurunzinza. Jeshi linalomtii Rais Nkurunziza limesema tayari limeweka ulinzi katika makazi ya rais na limetoa masaa sita kwa wanajeshi wafuasi wa Meja Jenerali Niyombare wajisalimishe kabla ya …

Mapinduzi ya Kitekinolojia Katika Sekta ya Afya

KATIKA muongo uliopita sekta ya afya imeshuhudia mabadiliko fulani ya ajabu katika maendeleo ya kiteknolojia na uvumbuzi ambao umeleta mchango mkubwa katika utoaji wa ushauri na matibabu kwa wagonjwa. Mapinduzi hayo yamesaidia kuboresha utoaji huduma za afya na matokeo mazuri kwa wagonjwa. Maendeleo ya kiteknolojia yamepindua sekta ya huduma za afya kwa njia nyingi na kuleta njia za kisasa na …