Waziri Mkuu Pinda Ayapa Jina Jipya Maonesho ya Nanenane

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema maonyesho ya siku ya wakulima nchini maarufu kama Nane Nane ni sawa na shamba darasa ambalo washiriki na wananchi wanapata fursa kujifunza mambo mapya kila mwaka. “Maonyesho ya Nane Nane ni shamba darasa kubwa, nimetembelea mabanda mengi na kubaini kuwa sasa hivi kuna fikra mpya ambazo hazikuwepo wakati wa maonyesho ya mwaka jana,” alisema. Ametoa …