Profesa Mbarawa Amteuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPA

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame M. Mbarawa, leo tarehe 25 Juni, 2016 amemteua Mhandisi Deusdedit Conatus Vitalis Kakoko kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa wanahabari na Wizara wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, na kusainiwa na Kaimu Katibu wa Waziri wa wizara hiyo, Ramsey Kanyanga imesema Mhandisi Kakoko amechukua nafasi …

Profesa Mbarawa Azungumza na Bodi ya Bandari Kiteknolojia

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameitaka Bodi mpya ya Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari nchini (TPA), kuanza kazi mara moja kwa kuzipatia ufumbuzi changamoto zinazoikabili Mamlaka hiyo hapa nchini. Akizungumza na bodi hiyo kupitia Teknolojia ya Video (Video Conference) toka mjini Dodoma Prof. Mbarawa ameitaka bodi hiyo kufahamu kuwa miundombinu ya bandari nchini iko katika hali …

Moto wa Rais Dk Magufuli ‘Wateketeza’ Vigogo Bandarini

Na Raymond Mushumbusi- Maelezo MOTO wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli umeendelea kuwachoma vigogo na sasa umewaangukia vigogo wa bandari, ambapo ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaban Mwinjaka kuanzia Disemba 7, 2015 na atapangiwa kazi nyingine. Rais Dk. Magufuli pia amevunja Bodi ya Bandari na kutengua uteuzi wa Mwenyekiti …