Bustani ya Kupumzikia Yageuzwa Makazi!

Pichani, ni eneo la Umoja Wa Vijana, Mtaa wa Kipande karibu na Exim Bank, inaonekana nguo zikiwa zimeanikwa kwenye Bustani hiyo au kwa ung’eng’e Park. Kwa mbaliii, anaonekana kijana akiwa ameuchapa usingizi chini ya viti vya bustani. Your browser does not support the video tag Video hii, kijana anaonekana akikojoa nyuma ya benchi la Bustani. Kwa mtaji huu, bustani hii …

Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!

Kama picha zilivyonaswa na thehabari hapo juu, inaonekana wakazi wa Jangwani wakirejesha makazi yao licha ya maafa makubwa yaliyowakuta kutokana na mvua kubwa zilizolikumba jiji la Dar hivi karibuni. Magodoro na vifaa mbalimbali vilionekana vikiwa vimeanikwa juu ya mapaa na kwingineko, tayari kuanza maisha mapya. Inasemekana serikali iliwahamishia wakazi hao eneo la Mabwepande, Manispaa ya Kinondoni, lakini inaonekana baadhi yao …