Hatimaye Bunge Lazibadili Sheria za Madini Tanzania

  BUNGE la Tanzania hatimaye limepitisha sheria mpya mbili na muhimu za uchimbani madini ambapo kwa pamoja zina lengo la kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya madini. Sheria hizo mbili zinafuatia mzozo wa miezi miwili kati ya serikali na Kampuni ya uchimbaji madini ya Uingeraza ya Acacia, kufuatia madai kwuwa kampuni hiyo imekuwa ikikosa kulipa kodi. Kupitia sheria hizo sasa …

Maonesho ya Madini na Vito Kufanyika Mererani…!

  Na Woinde Shizza, Arusha   WACHIMBAJI wa madini ya vito nchini wametakiwa kushiriki katika maonyesho ya wachimbaji wadogo wa madini ili kuweza kutumia fursa hiyo ya kuuza na kupanua wigo wa kupata masoko ya ndani na nje ili kuweza kukuza uchumi wao na pato la taaifa.   Hayo yameelezwa leo na kamishina wa madini kanda ya kaskazini Elius Kayandabila wakati …