AZAM FC Wampelekea Rais Kikwete Kombe…!

Na dev.kisakuzi.com, Dar es Salaam TIMU ya Mpira wa Miguu ya Azam FC ambao ni mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Mpira wa Miguu Tanzania Bara, jana jijini Dar es Salaam ilimpelekea kombe la Ubingwa huo Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete. Azam inayomilikiwa na kampuni maarufu na tajiri Afrika Mashariki ya mfanyabiashara, Said Salim Bakhresa (SSB) inayotengeneza bidhaa mbalimbali nchini …