Mwenyekiti Vuguvugu la Maandamano Burundi Azungumza Tanzania

 Mwenyekiti wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni mwanaharakati wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau.  Hapa mwanaharakati huyo akisisitiza jambo kwa wanahabari. Salha MohamedMWENYEKITI wa Chama cha UPD-Zigamimbaga, ambaye pia ni Mwenyekiti wa vuguvugu la maandamano nchini Burundi, Mugwengezo Chauvineau, amewataka viongozi wa nchi za Afrika Mashariki kutokubaliana na maamuzi ya raisi Pierre Nkurunzinza kuwania kiti cha urais …