Wilaya ya Morogoro Yajivunia Kupunguza Maambukizi ya Malaria

Na Andrew Chimesela, Morogoro HALMASHAURI ya Wilaya ya Morogoro, imefanikiwa kupunguza maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa asilimia nane (8) ukilinganisha na maambukizi ya ugonjwa huo yalivyokuwa kwa mwaka 2014. Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Dk. Mwanahamisi Yahya ambaye ni Kaimu Mganga wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni Wilaya ya Morogoro wakati akiwasilisha taarifa ya mapambano dhidi ya ugonjwa wa …