Serikali Kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Hadi Sifuri

Na Genofeva Matemu – Maelezo SERIKALI imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Fatma Mrisho wakati wa mkutano wa Serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji …