Dar Inaongoza kwa Uhitaji Maji Zaidi, Maadhimisho Wiki ya Maji

Na Aron Msigwa – MAELEZO TANZANIA inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Wiki ya maji kuanzia tarehe 16 hadi 22, Machi 2015 chini ya Kauli Mbiu isemayo Maji kwa Maendeleo Endelevu. Maadhimisho ya mwaka huu yanatoa fursa kwa Mamlaka zinazohusika na usimamizi wa Maji nchini kutathmini huduma wanayoitoa kwa wananchi, kujenga na kuimarisha miundombinu iliyopo katika maeneo mbalimbali nchini. Akizindua …