Rais Kikwete Apangua Ma-DC, 12 Wapigwa Chini, Watano Waula…!

RAIS wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya ikiwa ni pamoja na kutengua uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 12 na kuwapangia majukumu mengine wakuu wa wilaya 7. Taarifa imesema mabadilio hayo ameyafanya ili kuboresha utendaji kazi na pia kwa kuzingatia kuwepo kwa nafasi wazi ishirini na saba za wakuu wa wilaya kutokana na sababu mbalimbali. Wakuu …