Luteni Kanali Issac Zida Kuiongoza Bukina Faso

LUTENI Kanali Issac Zida amechaguliwa na viongozi wa Jeshi la Bukina Faso kuiongoza nchi hiyo kuelekea katika taratibu za kufanya uchaguzi. Baada ya kutoka kwa maamuzi hayo ya Jeshi sasa yameondoa sitofahamu iliyokuwepo ya kwamba ni nani atakaye mrithi Rais Blaise Campaore ambaye alijiuzulu kwa nguvu za wananchi kufuatia maandamano ya kumpinga yalioambatana na vurugu kubwa. Luteni Kanali Zida tayari …