Serikali Haiwezi Kutaifisha Shule, Hospitali na Vyuo vya Dini

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali haitataifisha shule, zahanati, hospitali wala Vyuo Vikuu vinavyoendeshwa na taasisi za kidini na amewahimiza wajenge zaidi na zaidi ili kuisaidia jamii kubwa ya Watanzania. Ametoa wito huo wakati akizungumza na walimu, wazazi na wahitimu wa kidato cha nne wa shule ya sekondari Magnificat iliyoko Sanya Juu, wilayani Siha mkoani Kilimanjaro.   Waziri Mkuu …