JK: Acheni Woga na Udhaifu wa Kusimamia Sheria

Sehemu ya jengo la mradi huo. Rais Kikwete akibofya kitufe kupiga king’ora kuzindua rasmi mradi huo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-Tanzania) Bw. Karl Fickenscher wakikagua mitambo ya  mradi huo. Mkurugenzi Mkuu wa MORUWASCO, Bw. Nicholaus Angumbwike akiendelea kutoa maelezo ya mradi. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka viongozi …