Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Maisha ya sasa kushirikiana kama picha zinavyoonyesha hapo juu, mke na mume kwakishirikiana kuuza vitumbua. Mke akichoma na mume akiwa anatoa huduma kwa wateja, ambao hujitokeza kwa wingi mida hii ya asubuhi pale maeneo ya “Davis Corner”, Tandika, Manispaa ya Temeke katika kituo cha daladala ziendazo Abiola na Buza kanisani. Kitumbua kimoja huuzwa kwa Tsh 100, na awali kabla ya …