Wanawake Wataka Katiba Mpya Itamke Umri wa Kuolewa, Kuoa

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WANAHARAKATI wanaoshiriki kongamano la Katiba la kujadili masuala ya kijinsia yanayotakiwa kuzingatiwa kwenye mjadala wa Bunge maalum la Katiba wamewataka wajumbe wa Bunge maalum la Katiba kuhakikisha katiba mpya itakayotengenezwa inatamka umri wa kuolewa au kuoa uwe miaka 18 hadi 21 ili kuwapa nafasi watoto wa kike kupata nafasi ya kusoma na kukua. Wakizungumza wakati wakiendesha Bunge kivuli …