Kulwa na Dotto Mwaibale Watembelea Kaburi la Mamayao

Kulwa na Dotto wakiwa wamekaa juu ya kaburi la baba yao mzee Anyitike Mwakwama Mwaibale aliyefariki January 28 mwaka 2007 huku wakilitizama kaburi la mama yao.  Dotto Mwaibale (kulia), akimuelekeza jambo Kulwa wakati wakitoka kuzuru kaburi la mama yao. Dotto Mwaibale akijiburudisha na hindi la kuchemshwa baada ya ziara hiyo fupi ya kuzuru kaburi la mama yao. (Picha zote na …