Sakata la Escrow: Prof. Tibaijuka Asema Hawezi Kujiuzulu Kwenye Mafanikio…!

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema kamwe awezi kujiuzulu wadhifa wake kwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyomkumba kwani tukio alilolifanya ni la mafanikio makubwa kwa upande wa shule zake. Alisema kitendo cha yeye kufanikiwa kuomba na kupokea shilingi zaidi ya bilioni 1.6 kama mchango kwake ni mafanikio makubwa kwa kufanikisha kupata mchango …

Uporaji Fedha za Escrow Waziri Mkuu Pinda Atakiwa Kujiuzulu

*Mwanasheria Mkuu, Waziri wa Nishati na Katibu wake kuwajibishwa HATIMAYE Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imewasilisha bungeni ripoti ya uchunguzi wa uporaji wa takribani bilioni 306 zinazodaiwa kuchotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow zikiwemo fedha za Seriali ya Tanzania, huku ikitoa mapendekezo Waziri Mkuu wa Tanzania ajiuzulu kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Akiwasilisha taarifa ya Kamati ya …