Kivuko cha Mv. Magogoni Charudi Kazini Dar

Kivuko cha Mv. Magogoni KIVUKO cha MV. Magogoni kimepokelewa na kuanza kazi rasmi ya kutoa huduma za usafirishaji kati ya eneo la Kigamboni na Magogoni mara baada ya kukamilika kwa ukarabati wake mkubwa. Akizungumza jijini Dar es salaam mara baada ya kukipokea kivuko hicho Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga amesema …

JK Azinduwa Kivuko cha Mafanikio na Mradi wa NHC Shangani Mtwara

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza jambo na Rais Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kuweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa nyumba 30za makazi zinazojengwa  na NHC Shangani mkoani Mtwara zenye thamani ya shilingi bilioni 4.4, Kulia ni Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais mteule wa chama cha CCM, Dk John Pombe …