Samsung Wazinduwa Duka na Kituo cha Huduma Arusha

KAMPUNI ya Samsung imezinduwa rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine Mjini Arusha. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hicho cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya wateja wa vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni. “Mtazamo wa maisha …

Rais Kikwete Akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD, Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP, Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP, Fahmi Dovutwa. TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni …