Baraza la Madiwani Kinondoni Lavunjwa Rasmi, Mwinyi Ashiriki

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imevunja rasmi Baraza la Madiwani ambapo mgeni rasmi katika shughuli hiyo alikuwa ni Rais mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi. Shughuli hizo zilitanguliwa na kikao cha baraza kupokea taarifa ya utekelezaji ambapo baada ya hapo mgeni rasmi Rais Mstaafu Mwinyi aliwasili na kufuatiwa na tukio la kukagua mabanda maalum …

Kinondoni Kujenga Kiwanda cha Taka…!

MANISPAA ya Kinondoni imesaini mkataba wa kiushirikiano na Jiji la Humburg mkataba utakaowezesha kujengwa kwa mtambo wa kuchakata taka za ugani na kuzalishwa mbolea eneo la Mabwepande wenye thamani ya shilingi za Kitanzania bilioni 3.5 fedha ambazo zote zitatolewa na jiji la Humburg. Mkataba huo ambao utapunguza kiasi kikubwa kero ya taka katika manispaa ya Kinondoni umesainiwa leo na Mstahiki …

Ummy Mwalimu Asimamia Sheria Mazingira Kinondoni

Hussein Makame – MAELEZO NAIBU Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Ummy Mwalimu amewataka watendaji wa Kata za halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za kusimamia mazingira kwani kufanya hivyo watafanikiwa katika kutunza mazingira ya halmashauri hiyo. Naibu Waziri Mwalimu ameyasema hayo wakati alipofanya ziara katika Halmashauri ya Kinondoni jijini Dar es Salaam leo …

Asilimia 38 ya ‘Walevi’ Kinondoni Walianza Utotoni

ASILIMIA 38 ya wanywaji wa pombe Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaa walianza matumizi ya pombe wakiwa watoto. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Shirika la IOGT imebainika kuwa asilimia 26.5 ya watumiaji pombe walianza wakiwa watoto yaani kati ya umri wa miaka 14 hadi 17, huku asilimia 11.8 walianza …