Balozi Seif Iddi Afungua Mkutano wa Kimataifa wa Hifadhi ya Jamii

Wageni mbalimbali wanaoshiriki mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha ulioanza leo katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC) wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa mkutano huo. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog). Na Mwandishi wetu MAKAMU wa pili wa rais Zanzibar  Balozi Seif Ali Iddi, amesema …