Kijiji cha Ngareni Rombo Chaomba Umeme

WAKAZI wa Kijiji cha Ngareni Kata ya Ngoyoni Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wameliomba Shirika la Kusambaza Umeme (TANESCO) kupelekewa huduma ya umeme jambo ambalo linawasababishia kuzorota kwa maendeleo katika kijiji hicho. Diwani wa Kata hiyo Protas Lyakurwa Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani wakati alipokua akichangia taarifa ya Shirika la kusambaza umeme iliyowasilishwa na Meneja wa TANESCO, Wilaya …