Mahakama Kupunguza Muda wa Mashauri Kukaa Mahakamani

Na Georgina Misama – MAELEZO MAHAKAMA ya Tanzania imedhamiria kutekeleza dira yake ya haki sawa kwa wote ili kuhakikisha inapunguza muda wa mashauri na rufaa kukaa Mahakamani kwa muda mrefu. Hayo yamesemwa na Ofisa Habari wa Mahakama ya Tanzania, Bi. Mary Gwera wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Akizitaja hatua zilizochukuliwa na Mahakama Bi Mary alisema, kuboresha …