Wanawake Wamlilia Maji Mgombea Mwenza wa CCM

Na Joachim Mushi, Longido WANAWAKE wa Wilayani Longido wamemsimamisha mgombea Mwenza wa urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu njiani akielekea jukaani kuhutubia wananchi wakimlilia kuwatatulia kero ya maji katika Kata ya Longido ambapo kila familia imekuwa ikipata huduma hiyo mara moja kwa wiki hali ambayo wamesema haikidhi mahitaji. Bi. Samia alilazimika kusimama eneo ambalo wanawake walikuwa wamefurika wakichota …

Mbunge Atatua Kero ya Maji Kijiji cha Amani Ludewa

Mbunge wa  jimbo la  Ludewa Deo Filikunjombe akinywa maji kwa majani ya miti baada ya kuzindua mradi wa maji na kukabidhi vifaa vya kuvuta maji  vyenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 14.5 kwa wakazi wa kitongoji cha Dodoma kijiji  cha Amani Ludewa  Mbunge wa Ludewa  Deo Filikunjombe akisoma maandishi mara baada ya kuzindua mradi wa maji kitongoji cha Dodoma …