Kampuni za Mapambano ya Ukimwi Kazini, ABCT Zatoa Mafunzo

Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Kampuni Kubwa na Ndogo zinazopambana na UKIMWI Mahala pa kazi (ABCT) Tanzania, Richard Kasesera (kushoto) akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya waratibu wa UKIMWI na Afya mahala pa kazi, Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mratibu wa  ABCT, Ruth Gundula. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA) Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa Kampuni Kubwa na Ndogo …