Rais Kikwete Kuhamishiwa Hoteli Maalum kwa Uangalizi wa Madaktari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalum ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari. Rais Kikwete amekuwa kwenye Hospitali ya Johns Hopkins tokea Jumamosi iliyopita wakati alipofanyikwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) na …