TFF, Wanahabari Wawalilia Munyuku na Karashani

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko vifo vya waandishi wa habari Innocent Munyuku na Baraka Karashani vilivyotokea Novemba 19 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Wakati TFF ikitoa tamko la rambirambi waandishi wa habari mbalimbali wameoneshwa kuguswa na kifo cha ghafla cha mwanahabari Mnyuku pamoja na kile cha mwanahabari Karashani kilichotokea akipatiwa matibabu juzi katika Hospitali …